Maajabu

Tangazo 2

                             

Matangazo

Download audio MP3 ABIHUDI - NIWEWE MUNGU PEKEE

 Download audio MP3 ABIHUDI NI WEWE MUNGU PEKEE


                             

Download

                             

PATA GB ZA BULE

 Habari 

Nimatumaini tangu kuwa hamujambo 


Kwasasa matumizi ya mtandao imeongezeka na Mambo mengi kwasasa yanafanyika mtandaoni

Watu wengi kwasasa hufanya kazi zao mtandaoni na wengine hutafuta kazi mtandaoni na wengine ni wafanya biashala 



Kwasasa Kila kitu kinapatikana mtandaoni na kwasababu hiyo Sasa matumizi ya mtandao yameongezeka Sana,


Na wapo wengine wanao to umia mitandao kutafuta fulaha au kujiriwaza kwa vitu mbalimbali  ikiwemo kutazama video kuwasiliana na malafiki na kadharika 


Hivyo Basi wengine wamekuwa wakipata changamoto pale wanapoitaji kuingia mtandaon na bando linakata au kutokuwa nalo kabisa,

Kwasasa zipo njia nyingi Sana Sana zutakazopunguza tatizo la kukata kwa bando na kukufanya ushindwe kuingia mtandaoni wakati wewe bado inahitaji kufanya shuguri hizo, 


Njia nyingi Sana zimekuwa zikitumika kwa watu wengi na moja ya njia hiyo ni hii ambayo Leo nataka tujifunze hapa na siku nyingine tutajifunza njia ya pili kikubwa nakusihi uwe unatembelea blog hii Kila wakati,


Twende kwenye lengo 

Leo tutajifunza njia ya kawaida Sana na lahisi ambayo wengi hawaijui na inatoa mb za bike papo hapo .


Kwakuanza utatakiwa kuwa na haya yafuatayo 

1. Uwe na laini ya halotel

2. Uwe na simu janja

Na uwe na mb kidogo utakazozitumia


Baada ya kuwa na hayo Sasa tutapataje mb za bike,


Kwanza kabisa inatupasa kupakua app itakayokufanya upate MB za bike  ipakue hapa.  http://q.gs/22433975/halopesa


Baadaya ya kuwa tayari umeipakua tazama video hapa ili ujue kuitumia






Baada ya kuwa tayari umeelewa Sasa unaweza kujaribu 

KUKISAJIRI 22BET NA KUPATA OFA

 22bet ,


Hi ni kampuni inayofanya vizuri kwasasa, inahuduma nzuri masoko yankutosha michezo mingi, 


Kujiunga bonyeza Hapa 22bet

 ikifunguka nenda sehemu ya kujisajiri , utaandika namba yako ya simu utabonyeza send , baada ya hapo utapokea sms ikiwa na kod , hizo Kodi utaiweka sehemu ya Kodi kwenye kibokisi cha piei utadhibitisha baada ya hapo utabonyeze kibokisi cha kukubali vigezo na mashaliti kitapiga tiki halafu utabonyeza kitufe cha kujisajiri, 

    





Ukishakibonyeza utapokea sms ikiwa na namba ya akaunti yako pamoja na password yako,  utaingia kwenye akaunti yako kwakutumia hizo taarifa,  



Baada ya kuingia kwenye akaunti yako halili akaunti yako kwa kujaza taarifa zako kwenye  akaunti yako, baada ya kuwa tayari umejaza , weka pesa isiyopungua $1 , ndipo utapata pesa ya ukalibisho,  bonus ya ukalibisho inategemeana na pesa uliyoweka ukiweka pesa kidogo utapata kidogo ukiweka kubwa utapata kubwa mfano ukiweka 10000 akaunti yako itaongezwa utakuwa na 20000 ,


Angalizo ili upate ofa hakikisha umejaza taarifa zako zote  link,




Bonyeza hapa kujisajiri kama utaitaji msaada wa kufunguriwa akaunti simbaya ukiniona

LINEBET TANZANIA

 Habari ndugu mosomaji  kalibu Sana 


Leo tutaangalia kwaufupi kampuni kubwa ambayo sasa imeanza kupatikana Tanzania


Linebet

Hi ni kampuni kama yarivyo makampuni mengine 

Linebet nikampuni inaoendesha michezo ya kubashiri au kubahatisha mtandaoni

Na limekuwa chaguo bola kwawatanzania waliowengi 

Kabula sijafika mbali nikuelekeze namna ya kujisajiri 

Ili kujisajiri  Bonyeza hapa baada ya kuwa imefunguka utaenda sehemu ya kujisajiri sehemu ya prom cod jaza 556A

Malizia usajiri kwakubonyeza kitufe cha kujisajiri na utapewa akaunti namba yani ID yako pamoja na password utavisevu upendavyo wewe


Baada ya hapo utaingia kwenyeakaunti yako 


Baada ya kuingia kwenye akaunti yako utaihalili kwakujaza taalifa zako zote mhimu kulingana na maelekezo utakayokuta  baada yakuwa tayari utaweka pesa na utaanza kazi ya kutafuta odds za uhakika ili utengeneze pesa


Masoko

Kwaupande wamasoko inamasoko ya kutosha na yenye kusisimua  ndomaana kutokana na huduma zake nzuli imejizolea umaalufu mkubwa hapa Tanzania,

Kama ulikuwa unatafuta kampuni bola utakayotumia katika kazi ya betting Basi tumia linebet 

Promo code 556A

Kwanini utumie prom cod 556A wakati wa kujisajiri

Ukitumia prom cod 556A wakati wa kujisajiri itakufanya uoate ofa pindi uwekapo pesa mala ya Kwanza,

Utapewa pia oha unapoweka pesa siku ya ijumaa,

Pia utapewa zawadi siku yako ya kuzaliwa yaani siku uliyofungulia akaunti

Na pia unaludishiwa kiasi cha pesa pale utakapopata los nyingi na kadhalika 

Kwamaana hiyo sasa ni mhimu kujisajiri na prom cod 556A


Ndugu yapo mengi ya kusema juu ya huduma ipatikanayo linebet kwaleo tuuishie hapo

Baada ya kuwa umepata maelekezo kwa ufupi sasa Jisajiri hapa

KWANINI TUNABETI HATUSHINDI

 Habari  


Leo nimeona niereze kidogo yale ninayoona yanatufanya tupate halasa kuliko faida katika kubeti

Nikweli betting ni kazi Kama kazi zingine , na kunafaida kubwa inayopatikana kwawalio makingi

Hivi kalibuni mchezo huu umepata umaalufu na wafuwasi wengi sana 

Na miongoni mwa wateja wengi wapo katika kundi la vijana ,

Chakushangaza hasala imekuwa kubwa kuliko faida inayopatikana katika kazi hii,

JE KWANINI TUNAPATA HASARA

kunamambo kadhaa ambayo kwaupande wangu nimeona yanaleta hasala au yamekuwa kati ya Yale yanayotufanya mikeka yetu kuchanika kila mala,

1. TAMAA

kwanini nasema tamaa, katika kubeti kunavitu viwili wakati Kabula mtu hajauidhinisha anapaswa  kuangali 

Pesa uliyoweka na pesa unayoshinda.

Hapo ndipo tunapoangukia unakuta mtu anaweka 500 na wazolake anataka apate 300000 sasa atajikuta analazimika kuweka timu nyingi katika mkeka wake ili odds ziwe nyingi ,wakati huo huo amesahau kuwa ukiweka timu kuanzia 6_  uwezekano wa wewe kushinda 30% ,kulos  kutachukua nafasi 70% , hivyo kwakuwa na tamaa ya pesa nyingi tunapoteza kiasi kikubwa cha pesa,

CHANZO CHA TAMAA,

hivyo nimeona kuwa nikueleze tuu kuwa tamaa kwa walio wengi hutokana na mataji mdogo hivyo basi kuepukana nia hili janga hakikisha Kabula hujabeti andaa mtaji wako mzuri na hakikisha mkeka wako hauzidi timu 4 odds kuanzia 2-5 hapo utatusua mala kwa mala na utapata faida mfano umweka laki ,ods 5= laki 5,

Ikiwa kila siku utafanikiwa kufanya hivyo utapata faida nzuri, na Kama huna mtaji na unataka kukuza mtaji wako fanya hivyo hivyo weka 5000 yako pata 15000 kesho Tena fanya hivyo utajikuta kiwango kinapanda,


Jambo lingine linalotufelisha 

 2, MAPENZI NA TIMU,

hili pia nitatizo kubwa Sana linalotufelisha shida Sana 

Mapendi ya timu fulani yanaondoka na pesa za watu nyingi, 

Kabula hujabeti jua kuwa kunamatokeo matatu 1,x,2 

Sasa wewe badala ya kufanya uchambuzi wa kina unaipa timu yako tuuu  matokeo yake inapigwa, hivyo basi kwenye kubeti ushabiki weka pembeni,


3, ODDS

hili nalo limekuwa tatizo kwa walio wengi , tunapishana na pesa kila wakati  kwasababu ya odds,

Wakamalia wengi wanajua kuwa timu yenye odds ndogo ndiyo inayoshinda kumbe sivyo ,kwasababu hiyo kampuni zinazoendesha mchezo huo zimeshajua kuwa watu hufata odds 

Sasa wanacheza na akili zetu kuwa timu wanayoiona ni dhaifu au nafasi ya kushinda ni ndogo au ziko sawa wanaipa odds ndogo , watu wakishaona wanapita nayo waoijua wameoati kumba hasala, ili uifaidi michezo ya kubeti odds isiwe chanzo zha ushambuzi wako,


4, AINA YA KAMPUNI UNAYOTUMIA

hili nalo linaweza kuwa mojawapo ya sababu itakayokufanya ushinde au ulos


Kuchagua aina ya kampuni UNAYOTUMIA kubetia ni Jambo la Kwanza mhimu kabula hujabeti, 

Nikweli makampuni yapo mengi na yanatoa huduma nzuri ,

Kwanini uchague kampuni kunakampuni ambazo ukipoteza timu moja kwenye mkeka wa timu nyingi unaludishiwa pesa yako pengine na faida kidogo, 

Na kunakampuni pia ambazo ukiona mkeka wako haueleweki unatimu kadha zimeshinda zingine huna imani nazo unakatisha mkeka unauza unapa pesa , 

Pia ikumbukwe pia wingi wa masoko pia ni sababu ya kukufanya uichague kampuni maana zinatofautiana,


Kwaupande wangu napendekeza kampuni kadhaa ambazo unaweza kuzitumia 

1 22BET   Jisajiri kwakubonyeza hapa


2. BETWAY Jisajiri hapa


3. Winprincess. Jisajiri hapa


Hayo ndomakampuni niliyoona yanafaa ukiyatumia  

Angalia video hapo namna ya kujisajiri 22bet,



Baada ya kuwa tayari umengalia endelea kufulahia betting,

Hizi ni kati ya ziri sababu nyingi zinazotufanya tupate hasala kwaleo nimeona nilete hizo chache

Naandaa somo litakalo kufundisha namna ya kuandaa mkeka wa ushindi kila siku,


Maana hivi sasa kumezuka janga jipya la wauzaji wa mikeka na yote hayo husababishwa na uvivu wa kuandaa mkeka mtu yuko tayali kununua hata odds 3

 Jambo ambalo si zuri, Kama unaitaji tupige hatua basi usinunue mkeka ,


Niishie hapa ili nisikuchoshe , kwamachache haya naamini umepata kitu , naomba maoni yako sasa 

TENGENEZA PESA SASA

Tangazo 2