Maajabu: TENGENEZA LINK IKIWA NA MANENO UNAYOTAKA

TENGENEZA LINK IKIWA NA MANENO UNAYOTAKA

 Habari ndugu msomaji 

Leo nataka ujifunze namna ya kutengeneza link fup ikiwa na ujumbe wako au manenounayotaka yaonekani 

Bilakupoteza wakato bonyeza hili tangazo hapa chini ujisajiri 


< p>

Baada ya kufunguka jaza taarifa zako hapo kama inavyotakiwa

 




Hakikisha umeanfika maneno kama hayo kwekibokis hapo chini baada ya kuwa tayari umejaza na kututuma utatumiwa ujumbe kwenye imel yako 


Nao utaonekana kama hiyo hapo juu kwenyepicha  

Fungus link ya hapo juu na utakamirisha akaunti yako baada ya kukamilika sasa tuanze kaziyetu ukumbuke pia hii tovuti kadiri utakavyokuwa unaitumia wakati was kufupisha link na kusambaza kwa malifikizako utakuwa unapata pesa 

Na hii ni somo lingine linalokuja  

TUENDELEE



 

Baada ya kuingia kwenye akaunti yako sehemu ya kufupisha link kwachini ya pale pakuweka link ili uifupishe utazifanyia marekebisho sehemu hizi mbiri kama zinavyoonekana kwenyepicha hakikisha sehemu zote unaweka manenyo hayo unayotaka yatokee ukishamaliza bonyeza sehemu ya kufupisha link





Tazama hizinpicha picha ya kwanza inaonyesha sehemu ya kukipi link yako uliyotengeneza 

 Na picha ya piri inakuonyesha link yenyewe inavyokuwa kwakutaka uhakika ili ujiridhishe kuwa linki yako inafanya kazi vyema ijaeibu hii link niliyotengezeza uone 


    http://j.gs/22433975/jierimishe

Na hapo utaona itakavyokupereke kwenye tovuti hudika nadhani utakuwa umejionea 


Ndugu nadhani kufikia hapo utakuwa umeerewa  simo letu vya kutosha kama hujaerewa pitia mama kwa mama ujionee mwenyew na ukiwa na swali uliza 

Pia maoni yako ni mhimu sana 


Endelea kutembele hapa mala kwa mala ili upate masomo zaidi yanayokuja 


Siku. Njema

No comments:

Post a Comment

TENGENEZA PESA SASA

Tangazo 2